sw_tn/jhn/19/21.md

237 B

Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato

Wakuu wa makuhani walienda mpaka Ikulu kumshitaki Yesu juu ya maneno na miujiza yake.

Niliyoyaandika nimeandika

Pilato anamaanisha kuwa hawezi kubadilisha maneno katika kibao