forked from WA-Catalog/sw_tn
310 B
310 B
kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa
Unaweza kutafsiri kama: "kwenye eneo ambalo watu wanaliita fuvu la kichwa"
ambalo kwa Kiebrania huitwa "Golgotha"
Kiebrania ni lugha ya Waisraeli
pamoja naye wanaume wawili
Unaweza kutafsiri kama: "pia waliwasulibisha wahalifu wengine wawili kwenye misalaba yao"