sw_tn/jhn/19/17.md

310 B

kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa

Unaweza kutafsiri kama: "kwenye eneo ambalo watu wanaliita fuvu la kichwa"

ambalo kwa Kiebrania huitwa "Golgotha"

Kiebrania ni lugha ya Waisraeli

pamoja naye wanaume wawili

Unaweza kutafsiri kama: "pia waliwasulibisha wahalifu wengine wawili kwenye misalaba yao"