kweli ni nini?
"Hakuna awezaye kujua kitu kilicho cha kweli"
Wayahudi
hii inamaanisha viongozi wa Kiyahudi
siyo huyu, ufungulie Baraba
tafsri kuonesha kuwa hawakumtaka Baraba bali Yesu
Baraba alikuwa mnyang'anyi
Hapa Yohana anaeleza Baraba alikuwa mtu wa aina gani