sw_tn/jhn/18/38.md

280 B

kweli ni nini?

"Hakuna awezaye kujua kitu kilicho cha kweli"

Wayahudi

hii inamaanisha viongozi wa Kiyahudi

siyo huyu, ufungulie Baraba

tafsri kuonesha kuwa hawakumtaka Baraba bali Yesu

Baraba alikuwa mnyang'anyi

Hapa Yohana anaeleza Baraba alikuwa mtu wa aina gani