sw_tn/jhn/18/06.md

214 B

Mimi

Hapa neno "yeye" halipo kwenye tafsiri ya asili lakini limefananishwa tu na "mimi ndiye"

kuanguka chini

watu walianguka chini kwa sababu ya nguvu za Yesu

Yesu Mnazareth

Yesu, mtu wa kutoka Nazareth