forked from WA-Catalog/sw_tn
674 B
674 B
Mimi siuombei ulimwengu
Hapa neno ulimwengu linamanisha watu waovu duniani au watu wasiomtii Mungu
Duniani
Hii inamaanisha hali ya kuwa duniani na kuwa mmoja wa wale wanaoishi humo.
Baba Mtakatifu, uwalinde... ii wawe na umoja kama sisi tulivyo na umoja
Yesu anamwomba Baba ili awalinde wale wanaoamini. Mungu Baba huwalinda wale wanaomwamini Mungu Mwana na kuwafanya wawe na umoja na Mungu katika utatu wake
Baba
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu
Uwalinde kwa jina lako ulilonipa mimi
Hapa neno "jina"linamaanisha ulinzi na usimamaizi wa Mungu. "Uwalinde na kwa ulinzi wa jina lako kama ulivyonilinda mimi" au "uwalinde kwa nguvu za jina lako ulilonipa mimi