sw_tn/jhn/17/09.md

674 B

Mimi siuombei ulimwengu

Hapa neno ulimwengu linamanisha watu waovu duniani au watu wasiomtii Mungu

Duniani

Hii inamaanisha hali ya kuwa duniani na kuwa mmoja wa wale wanaoishi humo.

Baba Mtakatifu, uwalinde... ii wawe na umoja kama sisi tulivyo na umoja

Yesu anamwomba Baba ili awalinde wale wanaoamini. Mungu Baba huwalinda wale wanaomwamini Mungu Mwana na kuwafanya wawe na umoja na Mungu katika utatu wake

Baba

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu

Uwalinde kwa jina lako ulilonipa mimi

Hapa neno "jina"linamaanisha ulinzi na usimamaizi wa Mungu. "Uwalinde na kwa ulinzi wa jina lako kama ulivyonilinda mimi" au "uwalinde kwa nguvu za jina lako ulilonipa mimi