forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
674 B
Markdown
20 lines
674 B
Markdown
|
# Mimi siuombei ulimwengu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno ulimwengu linamanisha watu waovu duniani au watu wasiomtii Mungu
|
||
|
|
||
|
# Duniani
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha hali ya kuwa duniani na kuwa mmoja wa wale wanaoishi humo.
|
||
|
|
||
|
# Baba Mtakatifu, uwalinde... ii wawe na umoja kama sisi tulivyo na umoja
|
||
|
|
||
|
Yesu anamwomba Baba ili awalinde wale wanaoamini. Mungu Baba huwalinda wale wanaomwamini Mungu Mwana na kuwafanya wawe na umoja na Mungu katika utatu wake
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu
|
||
|
|
||
|
# Uwalinde kwa jina lako ulilonipa mimi
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "jina"linamaanisha ulinzi na usimamaizi wa Mungu. "Uwalinde na kwa ulinzi wa jina lako kama ulivyonilinda mimi" au "uwalinde kwa nguvu za jina lako ulilonipa mimi
|