sw_tn/jhn/16/32.md

286 B

Sentensi unganishi:

Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake

nanyi mtatawanyika

"wengine watawatawanya"

Baba yu pamoja nami

Hili jina la muhimu la Mungu

ili kwama ndani yangu muwe na amani

amani ya ndani

nimeushinda ulimwengu

nimezishinda taabu na mateso ya duniani