sw_tn/jhn/16/22.md

395 B

Kama mkiomba lolote kwa Baba, atawapa kwa jina langu

Baba na Mwana wanajibu maombi pamoja. Wanaomwamini Yesu wana msamaha wa milele wa dhambi na wanaweza kuomba kwa Baba kupitia kwa Mwana, na Baba atajibu.

Baba

Hiki ni cheo cha Muhimu cha Mungu.

Kwa jina langu

Baba atawapatia mahitaji yao kwa sababu ya mahusiano yao na Yesu. "kwa sababu ni wafuasi wangu" au "kwenye mamlaka yangu"