sw_tn/jhn/16/08.md

566 B

Mfariji atauhukumu ulimwengu kutokana...haki...naenda kwa Baba

Yesu alipoondoka duniani na akarudi kwa Mungu Baba, kisha Mungu Roho akaanza kuwaonyesha watu wana dhambi na wanahitaji msamaha unaopatokana kwa Yesu pekee.

Ulimwengu

Inamaanisha watu wanaoishi duniani

kutokana na haki, kwa sababu naenda kwa Baba, na hamtaniona tena

"Atawaambia watu kwamba kwa sababu narudi kwa Baba, hamtaniona tena, mtajua kuwa ni mimi mwenye haki ya kweli"

Baba

Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu.

Mkuu wa ulimwengu

Angalia jinsi ulivyotafsiri kwenye Yohana 12:30