sw_tn/jhn/15/16.md

500 B

Hamkunichagua mimi

Yesu anasema kuwa wanafunzi wake hawakuchagua wenyewe kuwa wanafunzi

nendeni mkazae matunda

hii inamaanisha kuishi maisha yanayompendeza Mungu

kwamba matunda yenu yapate kukaa

matokeo ya matendo yenu yadumu milele

lolote muombalo kwa Baba kwa jina langu, atawapeni

"jina langu" ni kiwakilishi cha mamlaka ya yesu.

Mambo haya ninawaagiza, kwamba mpendane kila mtu na mwenzake

Upendo wa aina hii unatoka kwa Mungu na unawafaidia wengine pasipo kujali matendo yao.