forked from WA-Catalog/sw_tn
500 B
500 B
Hamkunichagua mimi
Yesu anasema kuwa wanafunzi wake hawakuchagua wenyewe kuwa wanafunzi
nendeni mkazae matunda
hii inamaanisha kuishi maisha yanayompendeza Mungu
kwamba matunda yenu yapate kukaa
matokeo ya matendo yenu yadumu milele
lolote muombalo kwa Baba kwa jina langu, atawapeni
"jina langu" ni kiwakilishi cha mamlaka ya yesu.
Mambo haya ninawaagiza, kwamba mpendane kila mtu na mwenzake
Upendo wa aina hii unatoka kwa Mungu na unawafaidia wengine pasipo kujali matendo yao.