sw_tn/jhn/15/08.md

375 B

Baba yangu anatukuzwa katika hili

Unaweza kutafasiri hii kama, "Inawafanya watu wamuheshimu Baba yangu"

Baba yangu

Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu

ya kwamba mzae matunda mengi

hapa matunda yametumika badala ya maisha yanayompendeza Mungu

ni wanafunzi wangu

dhihirisheni ya kuwa mu wanafunzi wangu

dumuni katika pendo langu

endeleeni kupokea upendo wangu