sw_tn/jhn/14/28.md

12 lines
390 B
Markdown

# Mpendwa
Aina ya upendo huu kutoka kwa Mungu unalenga kuwatendea mema wengine, hata wakati usipomfaidia mwenyewe. Upendo wa aina hii unajali wengine, bila kujali wanafanya nini.
# Baba ni mkuu kuliko mimi
Mungu Baba ni mkuu kuliko Yesu, aliyekuwa akipitia kudharauliwa kama mwanadamu, lakini umilele, kama nafsi ya Mungu, wote wako sawa
# Baba
Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu