forked from WA-Catalog/sw_tn
353 B
353 B
amini, amini
Hii ina maana ya kumwamini Yesu, ndiyo kwamba, Kuamini kwamba ni Mwana wa Mungu, kumtumaini yeye kama Mwokozi, na kuishi katika njia ambayo inamweshimu yeye.
Chochote mkiombacho katika jina langu, nitafanya
Hii ni hali ya kuonesha ukuu na uwezo wa Yesu
Baba...Mwana
Hivi na vyeo muhimu vikielezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu.