sw_tn/jhn/14/12.md

353 B

amini, amini

Hii ina maana ya kumwamini Yesu, ndiyo kwamba, Kuamini kwamba ni Mwana wa Mungu, kumtumaini yeye kama Mwokozi, na kuishi katika njia ambayo inamweshimu yeye.

Chochote mkiombacho katika jina langu, nitafanya

Hii ni hali ya kuonesha ukuu na uwezo wa Yesu

Baba...Mwana

Hivi na vyeo muhimu vikielezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu.