forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
371 B
Markdown
12 lines
371 B
Markdown
# Je! Sijakuwa pamoja nanyi kwa muda mrefu, na bado hunijui mimi, Philipo?
|
|
|
|
"Nimekuwa tayari pamoja nanyi wanafunzi kwa muda mrefu sana. Wewe, Philipo ungenijua mimi kwa wakati huu."
|
|
|
|
# Jinsi gani unasema, 'Tuonyeshe Baba?
|
|
|
|
"hivyo wewe, Philipo, hakika usingekuwa unasema, 'Tuonyeshe Baba."
|
|
|
|
# Bwana, tuonyeshe Baba...
|
|
|
|
Kumwona Mungu Mwana, Yesu, ni kumwona Mungu Baba.
|