sw_tn/jhn/14/08.md

371 B

Je! Sijakuwa pamoja nanyi kwa muda mrefu, na bado hunijui mimi, Philipo?

"Nimekuwa tayari pamoja nanyi wanafunzi kwa muda mrefu sana. Wewe, Philipo ungenijua mimi kwa wakati huu."

Jinsi gani unasema, 'Tuonyeshe Baba?

"hivyo wewe, Philipo, hakika usingekuwa unasema, 'Tuonyeshe Baba."

Bwana, tuonyeshe Baba...

Kumwona Mungu Mwana, Yesu, ni kumwona Mungu Baba.