sw_tn/jhn/13/34.md

252 B

Sentensi unganishi:

Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake

upendo

Hii ni aina ya upendo utokao kwa Mungu wenye kuleta mema kwa wengine

kila mtu

Hii ni hali ya kutia chumvi katika usemi kwamba kwa kila mtu aonaye upendo wa wanafunzi wake.