sw_tn/jhn/13/34.md

12 lines
252 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi:
Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake
# upendo
Hii ni aina ya upendo utokao kwa Mungu wenye kuleta mema kwa wengine
# kila mtu
Hii ni hali ya kutia chumvi katika usemi kwamba kwa kila mtu aonaye upendo wa wanafunzi wake.