forked from WA-Catalog/sw_tn
390 B
390 B
Niseme nini? Baba, niokoe mimi na saa hii?
Hii ni lugha ya balagha. Japokuwa Yesu anatamani kuepuka mateso, bado anachagua kumtii Mungu na kuuawa.
Baba
Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu
saa hii
Hii inamaanisha wakati Yesu atateswa na kufa msalabani.
ulitukuze jina lako
ufunue utukufu wako (Mungu) ili ujulikane
sauti ikaja kutoka mbinguni
Mungu aliongea kutoka mbinguni