sw_tn/jhn/12/27.md

390 B

Niseme nini? Baba, niokoe mimi na saa hii?

Hii ni lugha ya balagha. Japokuwa Yesu anatamani kuepuka mateso, bado anachagua kumtii Mungu na kuuawa.

Baba

Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu

saa hii

Hii inamaanisha wakati Yesu atateswa na kufa msalabani.

ulitukuze jina lako

ufunue utukufu wako (Mungu) ili ujulikane

sauti ikaja kutoka mbinguni

Mungu aliongea kutoka mbinguni