forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
390 B
Markdown
20 lines
390 B
Markdown
|
# Niseme nini? Baba, niokoe mimi na saa hii?
|
||
|
|
||
|
Hii ni lugha ya balagha. Japokuwa Yesu anatamani kuepuka mateso, bado anachagua kumtii Mungu na kuuawa.
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu
|
||
|
|
||
|
# saa hii
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha wakati Yesu atateswa na kufa msalabani.
|
||
|
|
||
|
# ulitukuze jina lako
|
||
|
|
||
|
ufunue utukufu wako (Mungu) ili ujulikane
|
||
|
|
||
|
# sauti ikaja kutoka mbinguni
|
||
|
|
||
|
Mungu aliongea kutoka mbinguni
|