sw_tn/jhn/12/20.md

363 B

kisha baadhi ya Wayunani

hii inatoa utambulisho wa wahusika wapya katika simulizi

kuabudu katika sherehe

Yohana anamaanisha kuwa Wayunani walikuwa wanaenda kumwabudu Mungu wakati wa Pasaka.

Bethsaida

huu ulikuwa mji katika jimbo la Galilaya

na kisha wakamwambia Yesu

Filipo na Andrea wakamwambia Yesu kuhusiana na Wayunani walioomba kukutana naye.