forked from WA-Catalog/sw_tn
363 B
363 B
kisha baadhi ya Wayunani
hii inatoa utambulisho wa wahusika wapya katika simulizi
kuabudu katika sherehe
Yohana anamaanisha kuwa Wayunani walikuwa wanaenda kumwabudu Mungu wakati wa Pasaka.
Bethsaida
huu ulikuwa mji katika jimbo la Galilaya
na kisha wakamwambia Yesu
Filipo na Andrea wakamwambia Yesu kuhusiana na Wayunani walioomba kukutana naye.