sw_tn/jhn/12/17.md

275 B

ishara hii

Hili ni tukio au tokeo linalodhihirisha kuwa jambo fulani ni la kweli; kwa hali hii, inathibitika kuwa Yesu ni Masihi.

tazama, ulimwengu umekwenda kwake

"inaonekana kuwa kila mtu anakuwa mwanafunzi wake"

ulimwengu

neno hili limaanisha watu wote duniani