sw_tn/jhn/12/17.md

12 lines
275 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# ishara hii
Hili ni tukio au tokeo linalodhihirisha kuwa jambo fulani ni la kweli; kwa hali hii, inathibitika kuwa Yesu ni Masihi.
# tazama, ulimwengu umekwenda kwake
"inaonekana kuwa kila mtu anakuwa mwanafunzi wake"
# ulimwengu
neno hili limaanisha watu wote duniani