forked from WA-Catalog/sw_tn
349 B
349 B
mwache atunze alicho nacho kwa ajili ya siku ya maziko yangu
Yesu anaeleza kuwa matendo ya yule mwanamke yanaweza kueleweka kama tazamio la kifo na maziko yake
maskini mtakuwa nao siku zote
Yesu anamaanisha kuwa mtakuwa na nafasi ya kuwasaidia maskini siku zote
lakini hamtakuwa na mimi siku zote
Kwa njia hii Yesu anasema kwamba atakufa