sw_tn/jhn/12/07.md

349 B

mwache atunze alicho nacho kwa ajili ya siku ya maziko yangu

Yesu anaeleza kuwa matendo ya yule mwanamke yanaweza kueleweka kama tazamio la kifo na maziko yake

maskini mtakuwa nao siku zote

Yesu anamaanisha kuwa mtakuwa na nafasi ya kuwasaidia maskini siku zote

lakini hamtakuwa na mimi siku zote

Kwa njia hii Yesu anasema kwamba atakufa