sw_tn/jhn/12/04.md

367 B

yeye ambaye angemsaliti Yesu

"Yeye ambaye baadaye aliwasaidia maadui wa Yesu kumkamata"

Basi alisema hivi...chukua baadhi ya vilivyomo ndani kwa ajili yako

Yohana anaeleza kwanini Yuda aliuliza swali kuhusu maskini.

aliyasema haya, sio kwasababu aliwahurumia maskini, bali kwasababu alikuwa mwizi

"alisema hivi kwasababu alikuwa mwizi. Hakuwajali maskini"