sw_tn/jhn/11/54.md

205 B

Maelezo ya jumla:

Yesu anaondoka Bethania na kwenda Efraimu.

tembea kwa uhuru mbele ya Wayahudi

Hapa anaongelea viongozi wa Kiyahudi.

nchi

hili ni eneo nje ya mji ambapo watu wachache wanaishi.