sw_tn/jhn/11/54.md

12 lines
205 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Maelezo ya jumla:
Yesu anaondoka Bethania na kwenda Efraimu.
# tembea kwa uhuru mbele ya Wayahudi
Hapa anaongelea viongozi wa Kiyahudi.
# nchi
hili ni eneo nje ya mji ambapo watu wachache wanaishi.