forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
284 B
Markdown
16 lines
284 B
Markdown
# Ajapokufa
|
|
|
|
Hapa "kufa" inamaanisha kifo cha kimwili
|
|
|
|
# Bado ataishi
|
|
|
|
Hapa "Ishi" linamaanisha uzima wa kiroho
|
|
|
|
# Naye aishiye na kuniamini hatakufa kamwe
|
|
|
|
Na wote waniaminio mimi hawatatengwa kamwe milele kutoka kwa Mungu.
|
|
|
|
# Hatakufa kamwe
|
|
|
|
Hapa "kufa" inamaanisha kifo cha kiroho
|