sw_tn/jhn/11/24.md

284 B

Ajapokufa

Hapa "kufa" inamaanisha kifo cha kimwili

Bado ataishi

Hapa "Ishi" linamaanisha uzima wa kiroho

Naye aishiye na kuniamini hatakufa kamwe

Na wote waniaminio mimi hawatatengwa kamwe milele kutoka kwa Mungu.

Hatakufa kamwe

Hapa "kufa" inamaanisha kifo cha kiroho