Ajapokufa
Hapa "kufa" inamaanisha kifo cha kimwili
Bado ataishi
Hapa "Ishi" linamaanisha uzima wa kiroho
Naye aishiye na kuniamini hatakufa kamwe
Na wote waniaminio mimi hawatatengwa kamwe milele kutoka kwa Mungu.
Hatakufa kamwe
Hapa "kufa" inamaanisha kifo cha kiroho