forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
291 B
Markdown
8 lines
291 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Katika mustari wa 13 kuna kituo katika mtiririko wa habari kama ambavyo Yohana unaongelea kuhusu wanafunzi wa Yesu kutokuelewa kile ambacho Yesu alimaanisha aliposema kuwa Lazaro amelala.
|
|
|
|
# kama amelala
|
|
|
|
Wanafunzi walidhani kuwa Lazaro amepumzika tu na baadaye ataamka.
|