sw_tn/jhn/11/12.md

8 lines
291 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Maelezo ya jumla
Katika mustari wa 13 kuna kituo katika mtiririko wa habari kama ambavyo Yohana unaongelea kuhusu wanafunzi wa Yesu kutokuelewa kile ambacho Yesu alimaanisha aliposema kuwa Lazaro amelala.
# kama amelala
Wanafunzi walidhani kuwa Lazaro amepumzika tu na baadaye ataamka.