|
# Nuru haimo ndani yake
|
|
|
|
Maana halisi 1) "hawezi kuona" au 2) hawezi kuona"
|
|
|
|
# Rafiki yetu Lazaro amelala
|
|
|
|
Lazaro amekufa lakini kwa ajili ya muda mfupi tu.
|
|
|
|
# Lakini ninaenda ili kwamba nipate kumwamsha kutoka usingizini
|
|
|
|
Yesu anaufunua mpango wake wa kumfufua Lazaro.
|