sw_tn/jhn/11/03.md

402 B

aliomba Yesu aje

"alitaka Yesu aje kwake"

upendo

Hapa "upendo" inamaanisha upendo wa ndugu, wa asili, upendo wa kibinadamu kati ya marafiki na ndugu.

Kifo

Hii inamaanisa kifo cha kimwili

badala yake kwa utukufu wa Mungu ili kwamba Mwana wa Mungu apate kutukuzwa katika hilo

Yesu kama Mwana wa Mungu, amepokea utukufu ule ule kama wa Mungu

Mwana wa Mungu

Hili ni jina muhimu kwa Yesu