sw_tn/jhn/10/32.md

567 B

Yesu aliwajibu, "Nimeshawaonyesha kazi nyingi nzuri kutoka kwa Baba

Kazi za Yesu zilifanyika katika uwezo wake kama Mwana wa Mungu, katika umoja na Mungu Baba. Kazi za Yesu ni kazi za Baba vile vile (na Roho Mtakatifu).

Baba

Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu

Unajifanya kuwa Mungu

"Alidai kuwa yeye ni Mungu"

Tuna...kuponda mawe kwa...kukufuru, kwa sababu wewe, uliye mtu, unajifanya kuwa Mungu

Yesu alidai kuwa yeye ni Mwana wa Mungu ilikuwa ni kufuru kwa Wayahudi kwa sababu walidhani kuwa Yesu alikuwa akidai kuwa yeye ni Mungu - na ndivyo alivyokuwa.