forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
510 B
Markdown
16 lines
510 B
Markdown
# Baba yangu...amewatoa kwangu...hakuna aliye na uwezo wa kuwanyakua kutoka mkononi mwa Baba.
|
|
|
|
Mungu Baba na Mungu Mwana kwa uwezo wao huwalinda waliookoka.
|
|
|
|
# Baba yangu
|
|
|
|
Hiki ni cheo uhimu kwa Mungu
|
|
|
|
# Mkono wa Baba
|
|
|
|
Neno "mkono" linatumika kumaanisha umiliki wa Mungu au madaraka na ulinzi wake.
|
|
|
|
# Mimi na Baba yangu tu umoja
|
|
|
|
Yesu, Mungu Mwana,na Mungu Baba ni umoja. Wao ni nafsi za Mungu mmoja na wa kweli (pamoja na Roho). Wana umoja katika makusudi, uwezo, mamlaka, huruma na utakatifu. Wao ni Mungu.
|