sw_tn/jhn/10/01.md

12 lines
243 B
Markdown

# Amini, amini
Itafsiriwe kama ilivyofanyika katika Yoh. 1:49
# zizi la kondoo
Hili ni eneo lenye uzio sehemu ambayo mchungaji huwatunza kondoo wake.
# Mwizi na mnyang'anyi
Hili ni tumizi la maneno mawili yanayofanana ili kuongeza mkazo