sw_tn/jhn/10/01.md

243 B

Amini, amini

Itafsiriwe kama ilivyofanyika katika Yoh. 1:49

zizi la kondoo

Hili ni eneo lenye uzio sehemu ambayo mchungaji huwatunza kondoo wake.

Mwizi na mnyang'anyi

Hili ni tumizi la maneno mawili yanayofanana ili kuongeza mkazo