sw_tn/jhn/09/32.md

424 B

Haijasikiwa kamwe kwamba mtu amefungua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu

"Hakuna aliewahi kusikia mtu amefumbua macho"

Ikia mtu huyu hakutoka kwa Mungu, asingefanya chochote

"Ikiwa mtu huyu hakutoka kwa Mungu, asingefanya chochote, lakini ameniponya, kwa hiyo yamkini ametoka kwa Mungu."

ulizaliwa katika dhambi, na wewe sasa unataka kutufundisha sisi?

"Ulizaliwa kamili katika dhambi. Hauna sifa za kutufundisha.