forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
403 B
Markdown
20 lines
403 B
Markdown
# Amini, amini
|
|
|
|
Tafsiri hii kama ilivyofanyika Yoh. 1:49
|
|
|
|
# Ni mtumwa wa dhambi
|
|
|
|
"Ni kama mtumwa wa dhambi." Hii inamaanisha kwamba dhambi ni kama bwana wa mwenye dhambi.
|
|
|
|
# Katika nyumba
|
|
|
|
Nyumbani mwa
|
|
|
|
# Ikiwa Mwana atawaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli
|
|
|
|
Kulingana na tamaduni zao, mwana mkubwa anaweza kumweka huru mtumwa katika nyumba yake.
|
|
|
|
# Mwana
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.
|