sw_tn/jhn/08/17.md

245 B

Ndiyo, na katika sheria yenu

Neno "Ndiyo" inaonyesha kwamba Yesu anaongeza kile alichosema kabla.

Imeandikwa

Musa aliandika

Ushuhuda wa watu wawilini kweli

"Ikiwa watu wawili watasema jambo lile lile, ndipo watu watakapojua ni kweli"