sw_tn/jhn/08/14.md

1.1 KiB

Ingawa najishuhudia mwenyewe

Hata ingawa nasema mambo haya juu yangu binafsi

Mwili

Kanuni za kibinadamu na sheria za watu

Simhukumu yeyote

Maana zuinazowezekana zaweza kuwa 1) Sijamhukumu yeyote bado au 2) Simhukumu yeyote sasa

ikiwa nitahukumu

Ikiwa nitahukumu watu. Maana inawezekana 1) Ninapowahukumu watu ( kwa wakati ujao) au 2) wakati wowote ninapowahukumu watu (sasa) au 3) ikiwa nitahukumu watu.

Hukumu yangu ni kweli

Maana inayowezekana 1) "Hukumu yangu itakuwa sahihi" au 2) Hukumu yangu ni sahihi

Siko peke yangu, lakini niko pamoja na Baba aliyenituma

Yesu, Mwana wa Mungu, anayo mamlaka kwa sababu ya uhusianomwake maalumu na Baba yake, aliyemtuma. Neno "Baba" na "Mwana" linaonyesha uhusiano wa watu wa Mungu kati yao.

Siko peke yangu

Siko peke yangu katika hukumu. "Siko peke yangu jinsi ninavyohukumu" au "sihukumu peke yangu."

Niko pamoja na Baba

"Baba pia anahukumu pamoja na mimi" au "Baba anahukumu kama nihukumuvyo mimi."

Baba

Hiki ni cheo maalumu kwa Mungu

Baba aliyenituma

Neno "aliyenituma" inazungumza jambo zaidi kuhusu Baba. "Baba, yeye pekee aliyenituma."