forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.1 KiB
Markdown
40 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Ingawa najishuhudia mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Hata ingawa nasema mambo haya juu yangu binafsi
|
||
|
|
||
|
# Mwili
|
||
|
|
||
|
Kanuni za kibinadamu na sheria za watu
|
||
|
|
||
|
# Simhukumu yeyote
|
||
|
|
||
|
Maana zuinazowezekana zaweza kuwa 1) Sijamhukumu yeyote bado au 2) Simhukumu yeyote sasa
|
||
|
|
||
|
# ikiwa nitahukumu
|
||
|
|
||
|
Ikiwa nitahukumu watu. Maana inawezekana 1) Ninapowahukumu watu ( kwa wakati ujao) au 2) wakati wowote ninapowahukumu watu (sasa) au 3) ikiwa nitahukumu watu.
|
||
|
|
||
|
# Hukumu yangu ni kweli
|
||
|
|
||
|
Maana inayowezekana 1) "Hukumu yangu itakuwa sahihi" au 2) Hukumu yangu ni sahihi
|
||
|
|
||
|
# Siko peke yangu, lakini niko pamoja na Baba aliyenituma
|
||
|
|
||
|
Yesu, Mwana wa Mungu, anayo mamlaka kwa sababu ya uhusianomwake maalumu na Baba yake, aliyemtuma. Neno "Baba" na "Mwana" linaonyesha uhusiano wa watu wa Mungu kati yao.
|
||
|
|
||
|
# Siko peke yangu
|
||
|
|
||
|
Siko peke yangu katika hukumu. "Siko peke yangu jinsi ninavyohukumu" au "sihukumu peke yangu."
|
||
|
|
||
|
# Niko pamoja na Baba
|
||
|
|
||
|
"Baba pia anahukumu pamoja na mimi" au "Baba anahukumu kama nihukumuvyo mimi."
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo maalumu kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
# Baba aliyenituma
|
||
|
|
||
|
Neno "aliyenituma" inazungumza jambo zaidi kuhusu Baba. "Baba, yeye pekee aliyenituma."
|