sw_tn/jhn/08/12.md

639 B

Mimi ni nuru ya ulimwengu

mimi ndiye nitoaye nuru kwa ulimwengu. Maana yake ni kwamba Yesu ameleta ujumbe wa kweli wa Mungu katika ulimwengu uwaokoao wanadamu kutoka giza la dhambi zao.

Ulimwengu

"Watu wa Ulimwengu"

Yeye anifuataye

"Kila mmoja anifuataye." Hii ni njia ya mafumbo isemayo "Kila mmoja atendaye yale ninayofundisha" au " kila mmoja anayenitii."

Uzima

Hii inamaanisha uzima wa kiroho

Unajishuhudia mwenyewe

"Unayasema mambo haya kwa ajili yako mwenyewe."

Ushuhuda wako siyo kweli

"ushuhuda wako siyo kweli" huwezo kuwa shahidi wa kujishuhudia mwenyewe au kile unachokisema juu yako hakiwezi kuwa kweli.