sw_tn/jhn/08/04.md

568 B

Sasa katika sheria

"Sasa" ni utangulizi wa kilichotangulia kuwa Yesu na Wayahudi wenye mamlaka walielewa

Watu kama hao

"Watu kama hao" au "watu wafanyao hayo"

Unasemaje kuhusu yeye?

Hii inaweza kutafsiriwa kama amri. "Kwa hiyo tuambie. Tufanyeje kuhusu yeye?"

Kumtega

"Kumtega." Hii inamaanisha kutumia swali la mtego.

Ili kwamba wapate jambo la kumshitaki kwalo

Nini watakachomshitaki nacho inaweza kufanywa wazi. "Ili kwamba wapate kumshitaki kwa kusema jambo baya" au ili kwamba wapate kumshitaki kwa kutoitii sheria ya Musa na sheria ya Warumi.