sw_tn/jhn/07/30.md

233 B

Kristo atakapokuja, atafanya ishara zaidi ya hizi anazofanya mtu huyu?

"Kristo atakapokuja hataweza kufanya ishara zaidi ya hizi ambazo mtu huyu amefanya."

Ishara

"Hii inamaanisha miujiza inayothibitisha kuwa yeye ni Kristo."