sw_tn/jhn/06/64.md

315 B

hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amepewa na Baba

Mwana wa Mungu, amepewa na Baba. Mungu Baba na Mungu Mwana kwa pamoja ni njia katika wokovu msamaha wa milele. Yeyote atakaye kuamini ni lazima aje kwa Mungu kwa kupitia Baba na Mwana.

njoo kwangu

"nifuate mimi"

Baba

hiki ni cheo muhimu kwa Mungu