sw_tn/jhn/06/62.md

624 B

Basi ni vipi kama mkimwona Mwana wa Adamu akishuka kutokakule aliokuwa kabla?

"Labda mtaamini ujumbe wangu kama mkiniona, yeye aliye kuja kutoka mbinguni, akishuka kule nilikokuwa kabla!"

faida

Hii ina maanisha kusababisha vitu vizuri kutokea.

maneno

"Ujumbe" Pengine maana: 1) maneno yake ndani au 2) kila kitu anachofundisha.

maneno niliyokuambia wewe

"Nilichowambia"

roho

Maana zinazo wezekana ni 1)Roho Mtakatifu au2) vitu vya kiroho.

ni roho, na ni uzimaa

maana dhaniwa 1)"karibia Roho na uzima wa milele" au "kutoka kwa Roho na inatoa uzima wa milele" au 3)" ni kuhusuvitu vya kiroho na uzima."