sw_tn/jhn/06/57.md

577 B

Baba mwenye uzima

Hii inaweza 1) "Baba atoaye uzima" au "Baba aishie," kama watu au wanyama wanavyoishi, kinyume cha "kifo"

Baba

hiki ni cheo muhimu kwa Mungu.

Baba mwenye uzima alinituma...kwa sababu ya Baba...yeye anilaye...ata...ishi kwa sababu ya

Yesu alitumwa na Baba, na anaishi kama mwanadamu kwa sababu ya Mungu Baba. Kama Mungu Mwana alivyotumwa na Mungu Baba, Yesu ni chanzo cha uzima wa milele.

mababa

"mababa wa zamani"

Yesu aliyasema mambo haya ndani ya Sinagogi... huku Kaperanaumu

hii ni babari ya nyuma kuhusu wakati tukio hili lilipotukia.