sw_tn/jhn/06/38.md

620 B

Kiunganishi cha Maneno:

Yesu anaendelea kuongea na mkutano

yeye aliyenituma

"Baba yangu, aliyenituma mimi"

nisimpoteze hata mmoja

"Niwatunze wote"

mapenzi ya Baba yangu...kila amtazamaye

Yesu anafafanua kwamba Mpango wa Baba unatoauzima wa milele kwa walew wanaoamini " Mwana,"Mwana wa Mungu, Yesu Kristo atakaye fufua na kutukuza miili ya wote wanao amini.

Mwana na kuamini katika yeye awe na uzima wa milele

Yesu anafafanua kwamba mpango wa Mung unaleta uzima wa milele kwa wale wote wanao mwanini "Mwana," Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, ambaye atakaye wafufua na kutukuza miili ya wale wanaoamini.