sw_tn/jhn/06/35.md

559 B

Mimi ni mkate wa uzima

Yesu anajifananisha na mkate. Kama vile mkate ulivyo muhimu kwa maisha yetu ya mwili, Yesu ni wa muhimu kwa maisha yetu ya kiroho.

aaminiye katika

Hii ina maanisha kuaminia kuwa Yesu ni Mwan wa Mungu, kumtegemea kama mwokozi, na kuishi katika namna ambayo ina mpendeza.

Wale wote anipaye Baba watakuja kwangu

Mungu Baba na Mungu Mwana ni washirika katwa milele kwa wale wanao mwamini Yesu, Mwana wa Mungu.

Baba

Cheo muhimu kwa Mungu.

Yeye ajaye kwangu sitamtupa kamwe nje

"Nitamtunza kila mmoja ambaye ajaye kwangu.