forked from WA-Catalog/sw_tn
410 B
410 B
ushuhuda ninao pokea sio wa mwanadamu
"Sihitaji ushuhuda wa watu"
okolewa
Hii ina maanisha "kuokolewa" ni katika maana ya kiroho. Kama mtu amekwisha "akolewa" ina maanishakwambaMungu amekwisha msamehe na kumuokoa kutoka katika adhabu ya Jehanamu kwa ajili ya dhambi zake.
Yohana alikuwa ni taa iliyokuwa ikiwaka na kung'ara
Yohana anonesha utakatifu wa Mungu kama vile ambavyo taa itoavyo mwanga.