sw_tn/jhn/05/33.md

410 B

ushuhuda ninao pokea sio wa mwanadamu

"Sihitaji ushuhuda wa watu"

okolewa

Hii ina maanisha "kuokolewa" ni katika maana ya kiroho. Kama mtu amekwisha "akolewa" ina maanishakwambaMungu amekwisha msamehe na kumuokoa kutoka katika adhabu ya Jehanamu kwa ajili ya dhambi zake.

Yohana alikuwa ni taa iliyokuwa ikiwaka na kung'ara

Yohana anonesha utakatifu wa Mungu kama vile ambavyo taa itoavyo mwanga.